Ili kusherehekea sikukuu ya diwal vizuri. Wahindi wamewasihi wakubwa wa TANESCO Arusha wazime umeme ili fataki zao angani zionekane vizuri. Usidhani ni utani hii inatoka ndani kabisa ya TANESCO. Fedha kidogo tu imetumika. Hivyo msipige kelele saaanaaa.
Jamani Wahindi wanaweza ua mtu kwa Mshituko... Ghafla nimesikia Milipuko mikubwa na kunipa khofu na nilidhani ni Mabomu ya Mabagala tena ila Nimekumbuka Ni Sikukuu ya Baniani Diwali hulipua fataki na baruti usiku...
Naomba watakao isikia watulie... ni kawaida kila Mwaka Diwali niSikukuu ya Kutimiza Mwaka kwa Kalenda ya wahindu na Baniani
wadau nilikuwa najipanga nilale lakini nimepoteza hamu hiyo mpaka mtaponidhibitishia muungurumo naousikia unatoka wapi.Maana bado sijasahau yaa gongolamboto mwenye kujua anipe taarifa
Msiwe na hofu hata huku dara kuna milipuko mizito wengi tulizani kuwa ni milipuko ya mabomu, lakini kunbe ni sherehe za wahindi wanaita Diwali nadhani hata Arusha tukio hili linaendelea kwa muujibu wa thread zilizofunguliwa hapa JF usiku huu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.