mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 16,102
- 36,072
😀😀Pole ndugunilikua hospital mkuu wala sikua bar
😀😀Pole ndugunilikua hospital mkuu wala sikua bar
Una maana gani uliposema sheria inaruhusu kuweka mitungi ya gas sehemu ambayo ni ventilated? Sababu kwa usalama mitungi inapaswa iifadhiwe sehemu ambayo yenye hewa 'ventilated'Hivi sheria inaruhusu kuweka hii mitungi ya gesi ktk sehemu ambayo ni ventilated?
Ni makosa ya kiuandishi pointi yangu ni kwamba sehemu ambayo ni non ventilatedUna maana gani uliposema sheria inaruhusu kuweka mitungi ya gas sehemu ambayo ni ventilated? Sababu kwa usalama mitungi inapaswa iifadhiwe sehemu ambayo yenye hewa 'ventilated'
Poa Holy, mambo?Vipi mkuu,
Poa mkuu financial servicesPoa Holy, mambo?
Ukiweka mfumi wa gasi kwa ajiri ya kupikia weka pia mfumo wa uzimaji moto wa majanga kwa dharula eneo hili hilo kama nijikoni au wapiDuuh hatari, naogopa hata huu mtungi nnaoishi nao humu ndani, hivi ni jinsi gani ya kuiweka salama wakuu?