Milipuko Tabata

nusuhela

JF-Expert Member
Jan 26, 2014
5,736
6,972
Jamani usiku huu wa saa saba kasoro imesikika milipuko zaidi ya mara tano.

Sijui kuna tukio gani maana milipuko sio ya kawaida na sijazoea kusikia milipuko ya hivi
 
Hivi sheria inaruhusu kuweka hii mitungi ya gesi ktk sehemu ambayo ni non ventilated?
 
Back
Top Bottom