Mlipuko umetokea maeneo ya tabata mawenzi, Nasikia kuna duka limeungua kulikuwa na mitungi ya gasTabata shule mkuu
Ila hii mitungi nayo ni hatari🙄, pole yake mjasiriamaliMlipuko umetokea maeneo ya tabata mawenzi, nasikia kuna duka limeungua kulikuwa na mitungi ya gas
Tayari fire wameshakuja lakin duka lote limeteketeaIla hii mitungi nayo ni hatari, pole yake mjasiriamali
Duh inaumiza ila hakuna kukata tamaa ya biasharaTayari fire wameshakuja lakin duka lote limeteketea
Vipi mkuu,Duh inaumiza ila hakuna kukata tamaa ya biashara
Umesikia au umeambiwa,ni mawenzi sio shuleTabata shule mkuu
Pombe zikakutoka bila shakaNilikuambia mimi naisikia nikiwa tabata shule