Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,542
- 34,871
Ajali ya bahati mbaya tu.Sisi kama wanashndwa kui handle gas ndio wataweza nuclear?wanaatarisha usalama wa dunia hawa
Ajali ya bahati mbaya tu.Sisi kama wanashndwa kui handle gas ndio wataweza nuclear?wanaatarisha usalama wa dunia hawa
Iran hatokaa amiliki silaha nuclear, wanatapatapa tu. Kumiliki nuclear sio sawa na kumiliki pedo.
Kwan na kama hamiliki huwa anakuambia wewe?!Na kama anamiliki huwa anakwambia ww