Ndugu zile pesa tulizoahidiwa bungeni kuhusu atakayembaini au kutoa tetesi za mlipuaji wa bomu katika mkutano wa CDM Arusha mnazikumbuka,au sakata limeisha?naamini bado hajapatikana hivyo tuendelee na juhudi za kumtafuta ili 'tupate' MILIONI MIA,mtaji tosha huo!