Milioni 200 Jackpot. The formula is here

Joined
Nov 8, 2017
Posts
65
Reaction score
65
Habari mwanaJf....

Ipo hivi ili ushinde milioni 200 za jackpot betpawa ni lazima utumie Bilioni 12,914,016,300

Na ili upate milioni 10 lazima utumie milioni 159,432,300

Ipo hivyo maana yake ni
3^17 = 129,140,163 hii ni idadi ya machaguo unatakiwa ufanye ili upate tokeo moja correct kwa pick 17


3^13 = 1,594,323 hii ni idadi ya machaguo unatakiwa ufanye ili upate tokeo moja correct kwa pick 13



Ukiangalia hapo gharama utakazotumia kupata kwa kila moja zidisha kwa Tsh 100

Ambapo utapata Bilioni 12.914 kwa pick 17 na milioni 159.432 kwa pick 13


Chaguo ni lako uendelee kubet au uache
 
Mkuu jackpot ni bahati,wanaoshinda hawachezi mara hizo zote,nachezaga jackpot ya timu 17 betpawa na huwa naingia kwenye mgawo sometimes hasa pale zinapowekwa timu za ligi kubwa kubwa maana wapo serious.
Nawekaga sh 1000 nacheza mikeka 10 kugeuza geuza timu.
Jackpot ni bahati,kama una bahati unaweza ukaotea hata kwa kucheza sh 100 tu
 
KIwango kikubwa kwa mikeka yako ulikula bonuses ya bei gani mkuu
 
KIwango kikubwa kwa mikeka yako ulikula bonuses ya bei gani mkuu
Niliacha kucheza ya timu 13 kwasababu ina bonus ndogo unapata timu 10 unapewa hata sh500 kwasabu idadi ya wanaopata ni wengi,. Ila timu 17 nimeingia kwenye bonus zaidi ya mara 5 huwa naangukia timu 13,14 na 15, bonus ya juu ilikuwa sh 480,000.

Mi lengo langu ni kupata zote ,ila kwenye jackpot ukichambua usiamini timu moja au zaidi ukairudia kwenye mikeka yote,maana ukiweka ushindi halafu haijashinda unakuwa umepoteza mechi moja tayari kwenye mikeka zote
 
Kweli mkeka mwingine yafaa kuweka kinyume. Nishawahi kupiga kwa sportpesa bonus mechi 11 kwenye jackpot ya mechi 13
 
Kweli mkeka mwingine yafaa kuweka kinyume. Nishawahi kupiga kwa sportpesa bonus mechi 11 kwenye jackpot ya mechi 13
Mkuu jackpot mi ndo napenda, maana nikiwa na sh5000 betpawa naweza nikacheza mikeka 5000 ,ukiwa makini kila weekend unapata bonus,ila kwa ligi kubwa kubwa hizi timu ndogo ndogo za sahivi usishangae kupata timu 5.
Lengo langu nikipata bonus kubwa nicheze double chance za kutosha kwenye jackpot,imagine kama sportybet ya timu 12 , kuweka double chance ya timu 6 ni sh 6,400.
 
We unayo B12 hapo na je ukicheza halafu wao Kule wakafuta namba Yako kwamba haijawahi kujiunga betpawa Kwa kuhofia kuwapiga hiyo B12 si itakua imeenda tumia akili kampuni yenyewe ya mtu mweusi
 
Nimeamua kubet kwenye kufuga kuku wa kienyeji. Hakika sijutii
 
Betting haina hesabu, ni bahati tu. Kungekuwa na hesabu , makampuni yangefungwa.
 
Betting haina hesabu, ni bahati tu. Kungekuwa na hesabu , makampuni yangefungwa.
Kila kitu ni bahati,watu tunacheza hadi pawa6 ( correct score za mechi 6 halafu kucheza ni bure) na unaamka na hela ya supu,mtu unaotea correct score za mechi 3 au 4, inatokea siku umepatia mechi zote 6 unaamka na mil 70
 
Mara ya mwisho nilipata 11 /17.
 
Mara ya mwisho nilipata 11 /17.
Sasa mkuu unakata tamaa ya nini ina maana umekosa 6 tu asilimia kubwa ya timu umezipata,sh 5000 kila weekend inatosha unacheza mikeka 50 ya jackpot ipo siku wataingia kwenye mfumo
 
Na hao dau linaloshindaniwa hapi sportybet ni bei ganu kwenye jackpot yao ya mechi 12..?
 
Bei ya jackpot ni sh 100, ila kama hamna mtu aliyepata inapanda kila week,ilifika mil 48 juzi imeliwa imeanzia tena mil 15
Sema ndogo hiyo hata kupata bonus nzuri ngumu na bonus zao zinaanzia mechi ngapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…