Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,554
Wakuu habari!
Katika mihangaiko yangu nimefanikiwa kupata Million 10. At the same time mimi ni graduate mwenye degree moja tokea 2019 na sijaajiliwa.
Sasa, hapa nawaza, either kwenda kuongeza elimu au kufanya biashara/kufungua mradi.
Naombeni ushauri wenu wakuu.
Maoni yenu yatazingatiwa sana.
Katika mihangaiko yangu nimefanikiwa kupata Million 10. At the same time mimi ni graduate mwenye degree moja tokea 2019 na sijaajiliwa.
Sasa, hapa nawaza, either kwenda kuongeza elimu au kufanya biashara/kufungua mradi.
Naombeni ushauri wenu wakuu.
Maoni yenu yatazingatiwa sana.