milionea

Sugi

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2011
Posts
1,392
Reaction score
295
muandishi wa habari wa TAMWA alimuuliza MILIONEA,"hivi ni nani aliyekusaidia kuwa milionea?"milionea akajibu"MKE WANGU"mwandishi akasema,"kweli wanawake ni msingi wa maendeleo,kabla ya hapo ulikuwa nani?"
Milionea akajibu"BILIONEA"
 
"in every man success there is a woman behind"
 
Subiri baada ya muda atakuwa lakinea, kuminea, elfunea, mianea, mojanea na mwisho kabisa atakuwa ombanea.
 
ha,ha,ha,ha,ha,haaaa...! Hii inaweza ikawa kwel hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…