daniel merengo
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 277
- 98
Kwa mujibu wa gazeti la ----- kwa siku 84-90 ambazo bunge maalum la katiba litakaa dodoma samweli sitta anategemea kulipwa tsh 150 na ndio maana analazimisha bunge liendelee bila mwaka wa pande 2 za ccm na UKAWA.
ukimwangalia sitta kwa haraka unaweza fikiria ana uchungu wa kuwaletea watanzania katiba kumbe anataka kujaza tumbo lake
Source;gazeti la -----
ukimwangalia sitta kwa haraka unaweza fikiria ana uchungu wa kuwaletea watanzania katiba kumbe anataka kujaza tumbo lake
Source;gazeti la -----