Milion 150 ndiyo zinazomtesa samwel sitta

Milion 150 ndiyo zinazomtesa samwel sitta

daniel merengo

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2011
Posts
277
Reaction score
98
Kwa mujibu wa gazeti la ----- kwa siku 84-90 ambazo bunge maalum la katiba litakaa dodoma samweli sitta anategemea kulipwa tsh 150 na ndio maana analazimisha bunge liendelee bila mwaka wa pande 2 za ccm na UKAWA.

ukimwangalia sitta kwa haraka unaweza fikiria ana uchungu wa kuwaletea watanzania katiba kumbe anataka kujaza tumbo lake

Source;gazeti la -----
 
Na ndiyo huyu huyu alilazimisha kujengewa ofisi ya Spika jimboni kwake!
Hii nchi ina mkosi jamani.....
 
Ndio maana nyerere alilipiga viboko wakati linasoma chuo kikuu linalilia soseji, gazeti ni mwana halisi, ana nyumba ndogo nyingi za kuhudumia
 
Sita ana tama mno,aliuhusu ofisi ijengwe jimboni kwake kama spika.
 
Back
Top Bottom