Milio ya risasi yarindima Tabata

X_INTELLIGENCE

JF-Expert Member
Mar 25, 2014
10,399
14,313
Kwa mliopo mitaa ya TABATA kuna milio ya risasi inasikika, tujuzeni kinachojiri huko maana tumesikia zaidi ya risasi 6 au 7.

Usiogope kaka! Ni hapa maeneo ya Kimanga stand, majambazi kama watatu hivi wamevamia mini supermarket ya IVAN na kuondoka na mzigo.
Kajeruhiwa mtu mmoja.
 
hiyo ni milio ya maindi si unajua maindi yakiwa yanachomwa yanavyolia..?
 
kwa mliopo mitaa ya TABATA kuna milio ya risasi inasikika tujuzeni kinachojiri huko maana tumesikia zaidi ya risasi 6 au 7

Usiogope kaka! Ni hapa maeneo ya Kimanga stand, majambazi kama watatu hivi wamevamia mini supermarket ya IVAN na kuondoka na mzigo.
Kajeruhiwa mtu mmoja.
 
Kova nae sasa atakuwa anaangalia kwenye TV haya matukio, acha tu mzee wa watu ajipumzikie, mjambazi yalimzidi uwezo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom