Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,255
- 113,669
Madent wa IFM waliingia kwa buku 5 tu, nao hawakua wengi.kwanza robo ya wahudhuriaji walikua ni wafanyakazi wa kampuni ya WAFU FMI!!! Pili NDUGU WA DAMU KAMA WAJOMBA NA MABINAMU NA MAJIRANI,, TATU, KUNA ROBO YA WATU WALIINGIA KWA COMLIMENTARY !!Wachache sana ndo walitoka kwa moyo!!!
Labda alimaanisha hivyo!!Ila nahisi hamjamuelewa ameandika shoo ilihitaji watu 400 tu kwa maana ya viti ila hajasema shoo ilihudhuriwa na watu 400 so mpango unaweza kuwa viti 400 na wakaingia watu 100 sijaona ubaya
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Ila nahisi hamjamuelewa ameandika shoo ilihitaji watu 400 tu kwa maana ya viti ila hajasema shoo ilihudhuriwa na watu 400 so mpango unaweza kuwa viti 400 na wakaingia watu 100 sijaona ubaya
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Kubeba maboksi huwa kunaondoa akili saa nyingine. Jinga hilo.
Sijui ruge anawapa nini hawa vijana! Wamekuwa kama nini sijui,in short they are not independent!yan hata blog zao binafsi wanaambiwa waandike nini?
I used to like millardayo ila now nshaona uzushi tu!dogo anapotea mapema sana we muache!
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Hapa sijui mkweli ni yupi, MwanaFA mwenyewe hapo anasema show iakuwa na watu 500, msikilize @1.58eti the finest SHOW ILIHITAJI WATU 400 TU!! Acha uwongo kaka! SHOW YA MWANAFATUMA ILIKOSA WATU!! Ayo maneno yako kwenye blog yako yanadhihirisha jinsi ulivyo mtumwa wa fikra!! Tunajua ni RUGAY aliyekuambia uandke hayo!!! Jana wananchi wamewaonyesha kwamba NYEUSI HAIWEZI KUWA NYEUPE DAIMA! ! THINK INDEPENDENTLY BRO!!!!!