Tunatengeneza milango ya aina mbali mbali kwa kutumia mninga mkongo na mvule bei zinatofautiana kulingana na aina ya mlango bei zina range Tsh 250,000-300,000 kwa mlango mmoja.finishing yetu ni nzuri sana,karibuni.Unaweza ni PM au tuma email kwa akamanyusi@yahoo.com
nI pm MIMI nipo Seriously nahitaji milango 8 ya ndani na miwili ya njoo cha nje na mmoja wa Jikoni. Nyumba yangu ni Ndefu kozi 10 lita kozi tatu kama kutakuwa na discount tutafanya biashara.