Kama migumu kuliko mbao na pia ukiweka na fensi ,itakuwa haina shidaInategemea maana chuma yake siyo ngumu kihivyo sema ni migu kuliko mbao
Kama migumu kuliko mbao na pia ukiweka na fensi ,itakuwa haina shidaInategemea maana chuma yake siyo ngumu kihivyo sema ni migu kuliko mbao
Mimi niliwahi ipost humu nlikuwa nayo nauz sema imekwishaKama migumu kuliko mbao na pia ukiweka na fensi ,itakuwa haina shida
OK mkuu, ukiipata naomba uniPMMimi niliwahi ipost humu nlikuwa nayo nauz sema imekwisha
Sawa mkuuOK mkuu, ukiipata naomba uniPM
Kama hiyo apo mkuu..Ulitakiwa uambatanishe na picha hicho unachohitaji wewe umetuwekea maneno tupu!
Ukiwa nayo ni Pm mkuu..Sawa mkuu
Poa soon ntakupmUkiwa nayo ni Pm mkuu..
Nadhani kuna kasifuri kamoja umekasahau hapo.Inapatikana kariakoo, ila lazima uende na vipimo kulingana na ukubwa wa flemu za milango,ndio uweke order wakutengenezee,bei ni kuanzia 90,000,
Ile sio kwamba ni mbao,nadhani ni mabaki ya malanda yatokanayo na mbao,ni milango laini sana na sumunyake kubwa ni maji ila kama utaiepusha na maji inatumika vyumbani,itakaa sana.E
Elfu 90,000/=, wanatumia mbao gani hao, Nami nahitaji kadhaa