hitler2006
JF-Expert Member
- Sep 1, 2014
- 489
- 457
kwa walambo wote wa miaka hiyo unakumbuka nini juu ya shule yetu nzuri.
kwa walambo wote wa miaka hiyo unakumbuka nini juu ya shule yetu nzuri.
Milambo siku hiyo walituvamia pale tabora school tulikuwa na dance na Warsaw tulipigwa sitasahau.wakorofi sana
Haahaaaah, nakumbuka katika maharagwe ya shule kulikuwa na wadudu weupe tulikuwa tunawaita waboizia.
Halafu elezea kisa cha kupigwa, kisa hakikuwa disco na girls. Heeheehe
Ila kwenye kimbembe mwinyi mlikuwaga wanyonge sana.
kisa waschana wa t.girls. Milambo shule ya wahuni si wajua tena boyzia wazee wa kukaza vijana wanasoma kama wametumwa na kijiji.
Nini hiyo?iko wapi hiyo?
RIP Ticha ZOMA.... mwite zoma amesoma!!!!!!!!!!!!!
Milambo Mwanaume eeeh
Milambo kuna ticha mmoja alitoka kibondo hahaha ni noma
Milambo wanatupiga na wanatuchukia kisa tunawazidi kila idara jamani mpaka nyimbo kanisani pia
Daahh..
na ule upara na kitambi chake sasa..!!
Ila nilikuwa na mkubali kwenye mathematics