Usijali. Mimi nimeoa mbena wa kutoka njombe. Mama mkwe akija hataki kutumia choo cha ndani. Anatumia bafu na choo vilivyoko servany quarters. Kusalimiana ananisalimu akichuchumaa wala haniangalii usoni. Mwaka wa kwanza wa ndoa yangu alipokuja dar mimi nilitoka chumbani kifua wazi na nimevaa kaptula shauri ya joto. Lo waifu aliruka kimanga na kunikokota kunirudisha bed room. Nikamuuliza vipi? Akaniambia "We bwana vipi unamtokea mama uchi?" Nikamuuliza uchi? Huoni nimevaa kwani uume wangu unaonekana. Akaniambia "Aisee kimila kule kwetu the way you adressed my dear husband you are naked". Basi nikaamua kujifunza. Kama hayupo naendelea na utamaduni wangu. Akija na mimi nakuwa mbena. Yaaani? Ah kwa vile wife bado nampenda bwana.
usijali. Mimi nimeoa mbena wa kutoka njombe. Mama mkwe akija hataki kutumia choo cha ndani. Anatumia bafu na choo vilivyoko servany quarters. Kusalimiana ananisalimu akichuchumaa wala haniangalii usoni. Mwaka wa kwanza wa ndoa yangu alipokuja dar mimi nilitoka chumbani kifua wazi na nimevaa kaptula shauri ya joto. Lo waifu aliruka kimanga na kunikokota kunirudisha bed room. Nikamuuliza vipi? Akaniambia "we bwana vipi unamtokea mama uchi?" nikamuuliza uchi? Huoni nimevaa kwani uume wangu unaonekana. Akaniambia "aisee kimila kule kwetu the way you adressed my dear husband you are naked". Basi nikaamua kujifunza. Kama hayupo naendelea na utamaduni wangu. Akija na mimi nakuwa mbena. Yaaani? Ah kwa vile wife bado nampenda bwana.
good tyme. na mm nitaoa mbena
Hizi mila kwa maisha ya mjini zinatuongezea gharama na pengine aibu kwa majirani.
Mama mkwe akija inabidi awe na choo na bafu lake. Kwenda kujisaidia kwa jirani kisa kudunisha mila ni aibu na kero kwa majirani. Cha kusikitisha mama mkwe wangu japo ana niheshimu kihivi , lakini aliachana na mumewe long time ago na huko kijijini anaishia (kinyumba) na kijana mwenye umri mdogo kabisa kuliko mimi na hata mwanae wa kiume wa mwisho...., eti hajui kukataa mwanaume na ndo mana aliachika!
hizi mila kwa maisha ya mjini zinatuongezea gharama na pengine aibu kwa majirani.
Mama mkwe akija inabidi awe na choo na bafu lake. Kwenda kujisaidia kwa jirani kisa kudunisha mila ni aibu na kero kwa majirani. Cha kusikitisha mama mkwe wangu japo ana niheshimu kihivi , lakini aliachana na mumewe long time ago na huko kijijini anaishia (kinyumba) na kijana mwenye umri mdogo kabisa kuliko mimi na hata mwanae wa kiume wa mwisho...., eti hajui kukataa mwanaume na ndo mana aliachika!
mimi sio mbena.
Nimezaliwa dar na kukulia dar.
Lakini naamini kuvaa bukta na kukaa
kifua wazi mbele ya mzazi wako
au hata mzazi wa mke wako ni utovu
wa maadili.
Mambo ya bukta na kifua wazi
unapokuwa na mkeo tu na watoto wenu wadogo.
Mila nyingine Bwana!.
Mke wangu anatokea kabila fulani kusini wa nchi yetu. Sina uwezo wa kutosha kiuchumi, tunaishi nyumba ya kupanga (Bonyokwa). Nyumba inavyumba viwili na sebule ambapo pana kochi moja tu na TV. Nyumba ina choo cha ndani cha sink la kukaa na pia kuna bafu humo humo.
Katikati ya mwezi uliopita, Mama mkwe kaja toka kijijini kwa ajili ya matibabu ya miguu, inamsumbua sana, ana lala chumba kimoja na watoto wetu. Cha kusikitisha, nimeonana nae ana kwa ana siku moja tu tokea aje kwenye. Siku zote huwa nikitoka kumsalimia anaitika huko huko chumbani, hataki tuonane sura, jana naelezwa na watoto eti "bibi" huwa anaenda kuoga na kujisaidia nyumba ya jirani yetu na mimi ninapofika tu akisikia mgurumo wa gari kama yupo sebuleni ana kimbilia chumbani!
Nauliza kwa nini anafanya hivi, waifu ananiambia eti kwa mila za kabila lao, ni aibu/ fedheha na sio ruksa kabsaaaa kwa mkwe (mzazi wa kike wa mke wangu), kufanya haya:
Nimetafakari sana, nika kumbua siku tatu zilizopita alikataa kuambatana nasi kwenda kupata "moja baridi moja moto" ...naouliza, naelezwa sio rahisi mama mkwe kukubali kukaa karibu yangu ......duh!
- Kusalimiana na na mkwewe (yaani mimi) kwa kutazamana usoni au kushikana mikono.
- Kutumia choo au bafu analotumia mkwewe (yaani mimi).
- Kukalia kiti alichokalia mkwewe.
- Kupishana kwa karibu na mkwewe
- Kukaa sebule na kuangalia TV mkwewe akiwa hapo hapo.
Hizi mila nyingine mboni mateso kwa sie akina yakhe!...
Ukipenda boga upende na ua lake babaMila nyingine Bwana!.
Mke wangu anatokea kabila fulani kusini wa nchi yetu. Sina uwezo wa kutosha kiuchumi, tunaishi nyumba ya kupanga (Bonyokwa). Nyumba inavyumba viwili na sebule ambapo pana kochi moja tu na TV. Nyumba ina choo cha ndani cha sink la kukaa na pia kuna bafu humo humo.
Katikati ya mwezi uliopita, Mama mkwe kaja toka kijijini kwa ajili ya matibabu ya miguu, inamsumbua sana, ana lala chumba kimoja na watoto wetu. Cha kusikitisha, nimeonana nae ana kwa ana siku moja tu tokea aje kwenye. Siku zote huwa nikitoka kumsalimia anaitika huko huko chumbani, hataki tuonane sura, jana naelezwa na watoto eti "bibi" huwa anaenda kuoga na kujisaidia nyumba ya jirani yetu na mimi ninapofika tu akisikia mgurumo wa gari kama yupo sebuleni ana kimbilia chumbani!
Nauliza kwa nini anafanya hivi, waifu ananiambia eti kwa mila za kabila lao, ni aibu/ fedheha na sio ruksa kabsaaaa kwa mkwe (mzazi wa kike wa mke wangu), kufanya haya:
Nimetafakari sana, nika kumbua siku tatu zilizopita alikataa kuambatana nasi kwenda kupata "moja baridi moja moto" ...naouliza, naelezwa sio rahisi mama mkwe kukubali kukaa karibu yangu ......duh!
- Kusalimiana na na mkwewe (yaani mimi) kwa kutazamana usoni au kushikana mikono.
- Kutumia choo au bafu analotumia mkwewe (yaani mimi).
- Kukalia kiti alichokalia mkwewe.
- Kupishana kwa karibu na mkwewe
- Kukaa sebule na kuangalia TV mkwewe akiwa hapo hapo.
Hizi mila nyingine mboni mateso kwa sie akina yakhe!...
Mila nyingine Bwana!.
Mke wangu anatokea kabila fulani kusini wa nchi yetu. Sina uwezo wa kutosha kiuchumi, tunaishi nyumba ya kupanga (Bonyokwa). Nyumba inavyumba viwili na sebule ambapo pana kochi moja tu na TV. Nyumba ina choo cha ndani cha sink la kukaa na pia kuna bafu humo humo.
Katikati ya mwezi uliopita, Mama mkwe kaja toka kijijini kwa ajili ya matibabu ya miguu, inamsumbua sana, ana lala chumba kimoja na watoto wetu. Cha kusikitisha, nimeonana nae ana kwa ana siku moja tu tokea aje kwenye. Siku zote huwa nikitoka kumsalimia anaitika huko huko chumbani, hataki tuonane sura, jana naelezwa na watoto eti "bibi" huwa anaenda kuoga na kujisaidia nyumba ya jirani yetu na mimi ninapofika tu akisikia mgurumo wa gari kama yupo sebuleni ana kimbilia chumbani!
Nauliza kwa nini anafanya hivi, waifu ananiambia eti kwa mila za kabila lao, ni aibu/ fedheha na sio ruksa kabsaaaa kwa mkwe (mzazi wa kike wa mke wangu), kufanya haya:
Nimetafakari sana, nika kumbua siku tatu zilizopita alikataa kuambatana nasi kwenda kupata "moja baridi moja moto" ...naouliza, naelezwa sio rahisi mama mkwe kukubali kukaa karibu yangu ......duh!
- Kusalimiana na na mkwewe (yaani mimi) kwa kutazamana usoni au kushikana mikono.
- Kutumia choo au bafu analotumia mkwewe (yaani mimi).
- Kukalia kiti alichokalia mkwewe.
- Kupishana kwa karibu na mkwewe
- Kukaa sebule na kuangalia TV mkwewe akiwa hapo hapo.
Hizi mila nyingine mboni mateso kwa sie akina yakhe!...