Mil 3 itafaa grocery?

Mil 3 itafaa grocery?

Lonelyness

Member
Joined
Aug 14, 2015
Posts
28
Reaction score
12
Nimedunduliza vipesa kidogo nimepata 3milions, nataka kufungua grocery, itafaa wapendwa? Je nikiongeza na chips na mishikaki hapohapo grocery itafaa au mshika mengi hukosa vyote? Nitaajiri wasaidizi wawili, mimi ni mwajiriwa serikalini nanina idea yabiashara kidogo.

Naombeni msaada wenu wapendwa
 
Mwenyewe dhamira ufanikiwa kamaumeamuwa kufanya fanya but misimokwenye biashara bas ngoja wakubwa waje?
 
Lonelyness , mtazamo wangu mimi ni kwamba tumia sh. milioni moja moja kufungua sehemu tatu tofauti za kuuzia chips hiyo itakusaidia kudiversify risk.

Sijui upo wapi, kama upo dar hesabu maeneo mengi minimum ni elfu ishirini hivyo ukiwa na sehemu tatu ni sawa na elfu sitini kwa siku ambapo gharama nyingine zote ni juu ya muuzaji. Baada ya wewe kuweka mtaji kazi yako inakuwa ni kulipia kodi tu eneo la biashara. Kwa hesabu hiyo utakuwa u anaingiza si chini ya milioni moja na nusu kwa mwezi. Nina mfahamu mtu anasehemu zaidi ya nane, tena location za maana.

Ulaji chips Dar ni mkubwa sana, watu ni wavivu wa kupika kupindukia.

GO FOR IT...
 
Last edited by a moderator:
nashukuru MCHUNGUZI HURU ushauri wako nitaushughulikia umenijenga sana
 
Back
Top Bottom