Mdau Makin
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 767
- 207
Jaman mdogo wangu hadi nakuonea huruma, maombi ya mkopo yarianza tarehe 2may hadi tarehe 30june lakn waliongeza mda tena hadi tarehe 31july
Jamani mdogo wangu pole sana kwakuchelewa kupata taarifa lakn Mungu atakuonyesha njia nyingie sawa
Hongera sana kwa majibu mazuri,barikiwa