Msingida
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 10,571
- 12,208
Nimesikia Bungeni Naibu waziri Mh.Majaliwa Kassim akijibu swali la mbunge aliye taka kujua mpango wa serikali kuhusu suala la makazi ya Walimu katika maeneo ya makazi;alijibu kuwa serikali inatoa mikopo ya nyumba kwa walimu na watumishi wengine wa serikali.Pia serikali iko mbioni kujenga nyumba kadha.....
Swali,
Mikopo hiyo Mtumishi anaipataje? (procedure)
Swali,
Mikopo hiyo Mtumishi anaipataje? (procedure)