mikopo ya hazina ya magari.

komboko

Member
Oct 12, 2012
7
1
nimefurahi na kupata upeo fulani toka kwa wana JF Kuhusiana na hii mikopo.lakini upande wa mahakama inaishia hukohuko juu kwa juu.nivema serikali ingetoa hiyo mikopo kwa vote au idara na kila mkoa na wilaya.ili isiishie kwa wakubwa tu.wao wana magari tayari na masurufu kibao alafu wanatolea maccho tena.
 
nimefurahi na kupata upeo fulani toka kwa wana JF Kuhusiana na hii mikopo.lakini upande wa mahakama inaishia hukohuko juu kwa juu.nivema serikali ingetoa hiyo mikopo kwa vote au idara na kila mkoa na wilaya.ili isiishie kwa wakubwa tu.wao wana magari tayari na masurufu kibao alafu wanatolea maccho tena.

Umesomeka mkuu.
 
Back
Top Bottom