MIKOPO KWA WENYE GPA YA 3.O

MIKOPO KWA WENYE GPA YA 3.O

tibmanzenjj

Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
18
Reaction score
4
Kama tunavoelewa ya kua tarehe 15/9/2016 TCU ilitangaza kushusha viwango vya kuingia chuo kikuu kwa wanafunzi waliomaliza diploma kutoka 3.5 mpaka 3.0 ,na kupewa fursa ya kuomba vyuo ambapo mwisho ni 23 september . Je bodi ya mikopo inaweza kuja kuwafungulia vijana hawa kuweza kuomba mikopo ?ukizingatia wengi wao hawakuomba kwa kuogopea kupoteza pesa zao
 
Kama tunavoelewa ya kua tarehe 15/9/2016 TCU ilitangaza kushusha viwango vya kuingia chuo kikuu kwa wanafunzi waliomaliza diploma kutoka 3.5 mpaka 3.0 ,na kupewa fursa ya kuomba vyuo ambapo mwisho ni 23 september . Je bodi ya mikopo inaweza kuja kuwafungulia vijana hawa kuweza kuomba mikopo ?ukizingatia wengi wao hawakuomba kwa kuogopea kupoteza pesa zao
lala kwanza kesho tutajadili vizuri sawa kijana
 
Mkuu thread yako inamashika, ngoja waje wahusika wengine watalisemea
 
Ni jambo la kusemewa sana ili lifanyiwe kazi,nategemea kuona hata bungeni likijadiliwa kwa dharula ili ukweli upatikane.
 
Huku hao nacte hua wanasoma iz details mnazo komment, ni shida sana elimu yetu ya tanzania bado hatujajipanga vizurii
 
Mkuu swala la kufungua system kwaajiri ya watu kuomba tena mokiopo kuna watu waliofika pale Bodi wiki iliyopita waliambiwa haiwezekani labda waziri atoe mamlaka hayo
 
Back
Top Bottom