Mikopo Kwa watumishi wa umma

Mikopo Kwa watumishi wa umma

mew 123

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2024
Posts
307
Reaction score
193
.
MIKOPO Kwa watumishi wa umma ni MIKOPO mahususi Kwa wale wote ambao hufanywa kazi serikalini.
Baada ya kuiona changamoto ya wafanyakazi wengi kuwa na uhitaji mkubwa wa hela hasa katika kujenga vyanzo vingine vya mapato tumeamua kutoa mikopo Kwa watumishi wa umma
  • Kiwango cha kukopa Kwa watumishi wa umma ni kuanzia million Moja Hadi million ishirini
  • Mdhamana wetu mkuu ni salary slip na barua kutoka Kwa mwajiri wako
  • Muda wa kuchukua mkopo ni kuanzia miezi mitatu Hadi miaka 5
  • Riba ni asilimia 3.5 kila mwezi unapofanya marejesho
VIAMBATA MUHIMU ILI KUWEZA KUPATA MKOPO
VIAMBATA hivi vipi katika makundi mawili Kwa wafanyabiashara na watumishi wa umma
1. Kwa wafanyabiashara
1.1 kitambulisho cha leseni ya udereva
1.2 kitambulisho cha Taifa NIDA
1.3 Barua ya utambulisho kutoka serikali za mitaa
1.4 Taarifa za kibenki za miezi 6 (bank statement) au miamala ya simu
1.5 TIN NUMBER
1.6 Leseni ya biashara
1.7 three coloured passport size
1.8 kitambulisho cha mtu wako wa karibu
1.9 wadhamini wawili

2. Kwa watumishi wa umma
2.1 kitambulisho cha leseni ya udereva
2.2 kitambulisho cha Taifa NIDA
2.3 Barua ya utambulisho kutoka serikali za mitaa
2.4 Taarifa za kibenki za miezi 6 (bank statement) au miamala ya simu
2.5 TIN NUMBER
2.6 Leseni ya biashara
2.7 three coloured passport size
2.8 kitambulisho cha mtu wako wa karibu
2.9 wadhamini wawil
 
Mikopo ni utumwa...
1. Haujengi nyumba
2. Mkopo hauwezi kukufanya kuwa tajiri
 
.
MIKOPO Kwa watumishi wa umma ni MIKOPO mahususi Kwa wale wote ambao hufanywa kazi serikalini.
Baada ya kuiona changamoto ya wafanyakazi wengi kuwa na uhitaji mkubwa wa hela hasa katika kujenga vyanzo vingine vya mapato tumeamua kutoa mikopo Kwa watumishi wa umma

    • Kiwango cha kukopa Kwa watumishi wa umma ni kuanzia million Moja Hadi million ishirini
    • Mdhamana wetu mkuu ni salary slip na barua kutoka Kwa mwajiri wako
    • Muda wa kuchukua mkopo ni kuanzia miezi mitatu Hadi miaka 5
    • Riba ni asilimia 3.5 kila mwezi unapofanya marejesho
VIAMBATA MUHIMU ILI KUWEZA KUPATA MKOPO
VIAMBATA hivi vipi katika makundi mawili Kwa wafanyabiashara na watumishi wa umma
1. Kwa wafanyabiashara
1.1 kitambulisho cha leseni ya udereva
1.2 kitambulisho cha Taifa NIDA
1.3 Barua ya utambulisho kutoka serikali za mitaa
1.4 Taarifa za kibenki za miezi 6 (bank statement) au miamala ya simu
1.5 TIN NUMBER
1.6 Leseni ya biashara
1.7 three coloured passport size
1.8 kitambulisho cha mtu wako wa karibu
1.9 wadhamini wawili

2. Kwa watumishi wa umma

2.1 kitambulisho cha leseni ya udereva
2.2 kitambulisho cha Taifa NIDA
2.3 Barua ya utambulisho kutoka serikali za mitaa
2.4 Taarifa za kibenki za miezi 6 (bank statement) au miamala ya simu
2.5 TIN NUMBER
2.6 Leseni ya biashara
2.7 three coloured passport size
2.8 kitambulisho cha mtu wako wa karibu
2.9 wadhamini wawil
  • Riba ni asilimia 3.5 kila mwezi unapofanya marejesho
    3.5 x 12 = 42
    Ukikopa 1m baada ya mwaka utalipa 1,420,000
 
Kwa wafanyakazi siku hizi mambo yote yako kwenye mfumo. Hayo mambo ya barua kutoka kwa mwajiri, ilikuwa ni enzi zileee!!!
 
Leta basi hio Calculator tuone
😹😹😹mkuu una bonda hadi kakimbia
JamiiForums-1051809086.jpeg
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
.
MIKOPO Kwa watumishi wa umma ni MIKOPO mahususi Kwa wale wote ambao hufanywa kazi serikalini.
Baada ya kuiona changamoto ya wafanyakazi wengi kuwa na uhitaji mkubwa wa hela hasa katika kujenga vyanzo vingine vya mapato tumeamua kutoa mikopo Kwa watumishi wa umma

    • Kiwango cha kukopa Kwa watumishi wa umma ni kuanzia million Moja Hadi million ishirini
    • Mdhamana wetu mkuu ni salary slip na barua kutoka Kwa mwajiri wako
    • Muda wa kuchukua mkopo ni kuanzia miezi mitatu Hadi miaka 5
    • Riba ni asilimia 3.5 kila mwezi unapofanya marejesho
VIAMBATA MUHIMU ILI KUWEZA KUPATA MKOPO
VIAMBATA hivi vipi katika makundi mawili Kwa wafanyabiashara na watumishi wa umma
1. Kwa wafanyabiashara
1.1 kitambulisho cha leseni ya udereva
1.2 kitambulisho cha Taifa NIDA
1.3 Barua ya utambulisho kutoka serikali za mitaa
1.4 Taarifa za kibenki za miezi 6 (bank statement) au miamala ya simu
1.5 TIN NUMBER
1.6 Leseni ya biashara
1.7 three coloured passport size
1.8 kitambulisho cha mtu wako wa karibu
1.9 wadhamini wawili

2. Kwa watumishi wa umma

2.1 kitambulisho cha leseni ya udereva
2.2 kitambulisho cha Taifa NIDA
2.3 Barua ya utambulisho kutoka serikali za mitaa
2.4 Taarifa za kibenki za miezi 6 (bank statement) au miamala ya simu
2.5 TIN NUMBER
2.6 Leseni ya biashara
2.7 three coloured passport size
2.8 kitambulisho cha mtu wako wa karibu
2.9 wadhamini wawil
Mwambie shetani hapa hapati kitu. Janja ya nyani mimi kwisha jua
 
Back
Top Bottom