pangakali 2
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 239
- 221
Tarehe 27 Oct 2019, Bodi ya Mikopo imetoa majina awamu ya pili kwa wanufaika wa mkopo wa elimu ya juu 2019/2020.
Wakuu, katika hilo mdogo wangu hajabahatika hadi sasa kwa awamu zote mbili na kila ninapoingia kwenye profile yake inaonekana bado inaendelea kufanyiwa kazi.
Kwa ambaye amekwishafanikiwa naomba afanye screen short ya status yake inavyosomeka baada ya kufanikiwa.
Lengo ni kujua huenda kukawa na shida kwenye system ili tuangalie namna ya kupambana na hili swala mapema.
Pamoja na maelezo haya nimeambatisha status yake inavyoonekana.
Wakuu, katika hilo mdogo wangu hajabahatika hadi sasa kwa awamu zote mbili na kila ninapoingia kwenye profile yake inaonekana bado inaendelea kufanyiwa kazi.
Kwa ambaye amekwishafanikiwa naomba afanye screen short ya status yake inavyosomeka baada ya kufanikiwa.
Lengo ni kujua huenda kukawa na shida kwenye system ili tuangalie namna ya kupambana na hili swala mapema.
Pamoja na maelezo haya nimeambatisha status yake inavyoonekana.