Acha Uvivu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 525
- 131
Sio siri mbali na kwamba ni kitovu cha vyombo vya habari, Dar ni mkoa ambao hauna 'effect' linapokuja suala la mabadiliko ktk Tanzania.
Wengi mmekalia porojo tu. Jana tar. 8 Februari, LHRC hawajaungwa mkono kabisa!
Uwezo wetu upo kuchafua tu hili jamvi la jf.
Katika hili Dar haina tofauti na Lindi, Mtwara in the rank. Ndo maana hata wabunge wengi wa CCM.
Viva viva Mwanza, viva viva Mbeya, Viva viva Arusha. Then Iringa, Kigoma endeleza hadi the last three hapo juu.
Hapa kwetu Dar ni kahawa tu hatuna lolote.
Wengi mmekalia porojo tu. Jana tar. 8 Februari, LHRC hawajaungwa mkono kabisa!
Uwezo wetu upo kuchafua tu hili jamvi la jf.
Katika hili Dar haina tofauti na Lindi, Mtwara in the rank. Ndo maana hata wabunge wengi wa CCM.
Viva viva Mwanza, viva viva Mbeya, Viva viva Arusha. Then Iringa, Kigoma endeleza hadi the last three hapo juu.
Hapa kwetu Dar ni kahawa tu hatuna lolote.