ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,076
- 49,774
Wakati Mikoa mingine hakuna Cha Waziri Wala Naibu Waziri,kina Mikoa bwana ndio inaongoza kutoa Mawaziri.
Mikoa hiyo ni
1. Tanga
2. Pwani
3. Dar
4. Dodoma
5. Ruvuma
6.Nchi ya Zanzibar
Je Mikoa mingine Hakuna wenye sifa za kuwa Viongozi?
My Take
Arusha,Mwanza & Mbeya Kuna Naibu Waziri mmja tuu.
Mwambukusi endelea kukiwasha.
Mikoa hiyo ni
1. Tanga
2. Pwani
3. Dar
4. Dodoma
5. Ruvuma
6.Nchi ya Zanzibar
Je Mikoa mingine Hakuna wenye sifa za kuwa Viongozi?
My Take
Arusha,Mwanza & Mbeya Kuna Naibu Waziri mmja tuu.
Mwambukusi endelea kukiwasha.