akikataa tunamvutia halafu aone huo mziki wake,,,,,,,Tatizo ni ahadi za kipuuzi za CCM! Mnaweza kulima Bangi weeee mwisho wa siku Jiwe akatae isiuzwe nje Kama issue ya korosho
Vipi Pole Pole anasemaje? Maana Mwenyekiti Alisema Kitu cha Njombe ndio moto
Huoni picha ya mwanzo anavyopiga kunuti na kumshukuru mungu.Siku hizi huyo ni Ustaadhi.
Nachokumbuka jiwe akiwa njombe aliruhusu hii kitu.Ngoja lisu aje atete hii kitu