fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,873
- 24,476
Habari zenu wanaukumbi. Ningependa kuuliza kua zile kelele zote na miitary maneuvers ya N. Korea dhidi ya marekani imeishia wapi maana sisikii lolote linaloendelea upande ule wa Peninsula ya Korea. Kwa jinsi yule Kim alivyokuwa akitamba hakika nilijua vita hataepukika, nini haswa kimetkokea?
Tujuzane wakuu
Tujuzane wakuu