Mika Mwamba kali kweli alikuwa mkali

KIOO asante sana kwa hizi nyimbo ulizotupia hapa, maana hua natafuta nyimbo za zamani na sijui wapi pa kuzipata
 
1.chambua kama karanga-saida karoli
2.kitobelo-saida karoli
3.Mapenzi kizungu zungu-saida karoli
4.Wanok nok-Mandojo&domokaya
5.taswira-mandojo&domokaya
6.niaje-mandojo&domokaya
7.Nizikwe hai-mandojo&domokaya
8.Nyambizi-dully sykes
9.julieta-dully sykes
10.salome-dully sykes
11.nyambizi-dully sykes
12.hi-dully sykes
13.Historia ya kweli-dully sykes
14.hip hop mdundiko-mambo jambo
15.embe dodo- benjamini
16.Elimu mitaani.com-D knob
17.mtoto wa geti kali-insp haroun
18. Rudi mpenzi -BDP
19.wosia-BDP
20.Kitambo kidogo-BDP
21.Kamanda-Daz nundaZ
22.Barua-Daz nundaz
23.Matatizo-Daz nundaz
24.Maji ya shingo-Daz Nundaz
25.omba umauti-fagio la chuma
26.fagio la chuma-fagio la chuma
27.Siri yangu-jay dee
28.usiuseme moyo-jay dee
29.wanaume kama mabinti-jay dee
30.Nakumind-temba
Tamala- hardmad ngoma ni classic kutoka kwa mika
 
Kama kuna tuzo zitatolewa kwa waliofanikisha mziki wa bongo flava kufika hapa Mika anastahili kupokea hata kufikishiwa popote alipo ikiwezekana nadhani atafarijika sana hata akitangazwa tu hadharani. salute sana kwa kazi zako nzuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom