Ndugu naomba nitafutie wimbo wa fagio la chuma unaoitwa omba umauti ukufike
Ndugu naomba nitafutie wimbo wa fagio la chuma unaoitwa omba umauti ukufike
Hahaha kweli kaka, Mikka Mwamba alikua ni Mhandisi wa Sound. yaan muziki anaujua In and OutDah km ni kweli basi bongo fleva itamkumbuka sana asee mana hawa kina laizer sijui wanatengeneza vitu gani cku izi
Sikiliza never give up ya harmonizeMabinti wa kitanga, bonge la beat, ikichezwa hata Leo unaweza fikri ilitengenezwa jana
MKUU,Thanks a lot kiongozi wangu. Tuko pamoja mkuu. Thanks.
MKUU,
WEWE NI DJ AU PRESENTER ?
Tamala- hardmad ngoma ni classic kutoka kwa mika1.chambua kama karanga-saida karoli
2.kitobelo-saida karoli
3.Mapenzi kizungu zungu-saida karoli
4.Wanok nok-Mandojo&domokaya
5.taswira-mandojo&domokaya
6.niaje-mandojo&domokaya
7.Nizikwe hai-mandojo&domokaya
8.Nyambizi-dully sykes
9.julieta-dully sykes
10.salome-dully sykes
11.nyambizi-dully sykes
12.hi-dully sykes
13.Historia ya kweli-dully sykes
14.hip hop mdundiko-mambo jambo
15.embe dodo- benjamini
16.Elimu mitaani.com-D knob
17.mtoto wa geti kali-insp haroun
18. Rudi mpenzi -BDP
19.wosia-BDP
20.Kitambo kidogo-BDP
21.Kamanda-Daz nundaZ
22.Barua-Daz nundaz
23.Matatizo-Daz nundaz
24.Maji ya shingo-Daz Nundaz
25.omba umauti-fagio la chuma
26.fagio la chuma-fagio la chuma
27.Siri yangu-jay dee
28.usiuseme moyo-jay dee
29.wanaume kama mabinti-jay dee
30.Nakumind-temba
Mkuu sio DJ wala Presenter ni Artist.
Kazi yako hata moja mkuu, nikusikilize kama hautojali!
Feel The Vibez Mkuu.
Feel The Vibez Mkuu.
Kweli Man kwa stule hii lazima wakeshe makaburini ili wakuroge wewe. Nakucheki kwa ndani ndani tusomane.
Pamoja mkuu...!
Marehem RoyBaridi ya Enica alitengeneza nani?mana lilegoma ni balaaa mpaka sasa sijaona,pamoja na hiyo Eno mic