Mika Mwamba: Avumaye baharini..............!


Correction, "Sauti ya Gharama" ni mkono wa Majani, sio Miika.
 
Thread ya kitambo sana hii. By the way Miika Mwamba ni kiboko! Nikikumbuka wimbo wa Salome wa Dully Sykes naisikia raha sana na kumbuka jamaa huyu.
 
Bila kumsahau Dknob, Dudubaya, Mandojo na Domokaya jamaa alikuwa na mchango mkubwa sana kuwatoa.
 

Jamaa mzungu anaitwa micka curru...n mfinland curry kwa kikwao n mwmba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…