Miji saba yenye billionea wengi duniani

Miji saba yenye billionea wengi duniani

Nenda kachunguze upya alafu uje na habari sahihi umu sio kutaka kutuletea mambo ya blah hapa bana....Moscow ina billionaire zaidi ya 250
 
Bakhresaa nadhani hajaamua kupeleka info.zake forbes lakini kuna uwezekano networth yake imefikia a billi. Maana ile satelite city tu ya kule unguja sio mchezo
nadhani project nyingi za Bakhressa ni joint venture, kuna investors wengine wapo nje ya nchi ambao wanasaidiana na Bakhressa katika kuwekeza katika hiyo miradi.
 
Nenda kachunguze upya alafu uje na habari sahihi umu sio kutaka kutuletea mambo ya blah hapa bana....Moscow ina billionaire zaidi ya 250
hujui ukiongeacho ww, Russia yote mabillionea hawafiki hata 90, alafu mji mkuu wa Russia ndio uwe na mabillionea 250?

ni kama kusema Tanzania kuna mabillionea 5, alafu dar es salaam wapo 30.

The 25 Countries With The Most Billionaires
 
Wale jamaa zangu waarusha hujawatendea haki ukitaka kuamini wewe nenda Arusha hata na laki tano tu tafuta wapambe wanunulie kibogold za kutosha na nyama choma lazima uitwe Billionea nahisi kwa Tanzania inaongoza kuwa na mabillionea wengi toka Arusha
 
Kumbuka tukisema billionea huwa tuna refer net worth ya mtu in terms of US dollars. Hivyo ili mtu awe billionea, maana yake ni kuwa awe na net worth ya walau trillioni 2.25 za kitanzania. (ambayo ni sawa na bilioni 1 ya US dollars).

1. New York: 103
2. Moscow: 85
3. Hong Kong: 82
4. London: 72
5. Beijing: 37
6. Sao Paulo: 36
7. Istanbul: 35
.
.
.
Africa nzima (continent): 25
Tanzania: 1 ( Mo Dewji )
nb: hapa chini nimeweka bara na nchi, hiyo juu ni miji tu (sehemu ya nchi).


Kwa africa tupo 26,ndugu mbn umeniacha, au kwakuwa SIPENDI KUJIONYESHA KAMA ALLY KIBA
 
Bakhresaa nadhani hajaamua kupeleka info.zake forbes lakini kuna uwezekano networth yake imefikia a billi. Maana ile satelite city tu ya kule unguja sio mchezo
naamini kafika billi yule ila ni kwamba kampuni ina shareholders kadhaa kuliko kampuni kama ya Mo
 
Back
Top Bottom