Royal Warrior
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 1,166
- 2,144
Kumbuka tukisema billionea huwa tuna refer net worth ya mtu in terms of US dollars. Hivyo ili mtu awe billionea, maana yake ni kuwa awe na net worth ya walau trillioni 2.25 za kitanzania. (ambayo ni sawa na bilioni 1 ya US dollars).
1. New York: 103
2. Moscow: 85
3. Hong Kong: 82
4. London: 72
5. Beijing: 37
6. Sao Paulo: 36
7. Istanbul: 35
.
.
.
Africa nzima (continent): 25
Tanzania: 1 ( Mo Dewji )
nb: hapa chini nimeweka bara na nchi, hiyo juu ni miji tu (sehemu ya nchi).
1. New York: 103
2. Moscow: 85
3. Hong Kong: 82
4. London: 72
5. Beijing: 37
6. Sao Paulo: 36
7. Istanbul: 35
.
.
.
Africa nzima (continent): 25
Tanzania: 1 ( Mo Dewji )
nb: hapa chini nimeweka bara na nchi, hiyo juu ni miji tu (sehemu ya nchi).