Miji miwili iliyobarikiwa zaidi na Mungu Tanzania

What about Dar Es Salaam, with its artificial mountains?
By the way, did you know that Dsm is the richest city in Tanzania?

Tanzania-Dar-Es-Salaam.jpg
 
Nyie watu wa arusha sijui mtaacha masifa lini?
Kila mahali pamebarikiwa kulingana na mahitaji ya eneo husika
Mkishiba mbege basi mnajiona booora
Mtu anajisifia lakini mfukoni hana hata Mia na anakaa nyumbani. Chakula cha kugombea na wazazi. Ni shidaaaa
 
Ongea kuhusu mkoa wako mkuu acha kujipendekeza au kutaka kujihusisha au kujishikiza Dar au Pwani. Hii inathibitisha kwamba huwezi kuongea kuhusu TZ bila kuitaja mikoa hiyo ambayo ni ndoto ya kila MTZ kufika au kufanya kazi.
Wazaramo kitambo walijenga mkoa wa Pwani (Dar kama mkoa ulizaliwa mwaka 1972 na ulikuwa ni sehemu ya Pwani).Hizo picha mlizoposti ni sawa na Dar ya mwaka 1930.Hiyo habari ya kuuza haina maana bali wanapangisha msio na makazi mjini na kisha wenyewe wanapanua miji yao.
Punguza uchizi wewe, apa Dar es salaam, wazazi wetu baada ya kufika awo ndugu zako wazaramo wamekimbilia maporini wameogopa changamoto. Ivi wewe unaijua Dar es salaam unasema sema kama kapuku, unajua kuna waindi tumezaliwa nao umu umu kwenye National housing na awajui Kiswahili. Unaelewa kwa nn? Awajui Kiswahili
Kwa iyo ujinga ulio nao Jaribu kuficha. Dar es salaam aina wenyewe wewe, ndio jiji tunaloishi
 
Namna sahihi ya kusugua meno yako yawe meupe peee.
 

Attachments

  • 1497365492290.mp4
    1.5 MB · Views: 46
Back
Top Bottom