Miili ya wanafunzi 6 waliofariki kwa ajali ya basi yaagwa leo, Mbeya

Miili ya wanafunzi 6 waliofariki kwa ajali ya basi yaagwa leo, Mbeya

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Mamia ya wakazi wa Wilaya ya Chunya, Mkoa wa Mbeya, wamejitokeza katika Viwanja vya Shule ya Sekondari Chalangwa, kuaga miili sita ya wanafunzi waliokuwa wanasoma shule hiyo, waliopoteza maisha kwa kugongwa na basi wakiwa mazoezini majira ya saa kumi na moja alfajiri siku ya Jumamosi, Kijiji cha Itumbi na wengine nane kujeruhiwa

Wazazi, ndugu, jamaa na marafiki wamejumuika kwa pamoja kuwaaga wapendwa wao, huku Serikali ikibeba jukumu la kugharamia mazishi

Soma pia: Wanafunzi 6 wafariki kwa kugongwa na basi Mbeya

mey.png


Chanzo: ITV DIGITAL
 
Back
Top Bottom