King Innocent JF-Expert Member Dec 13, 2011 1,001 623 Jun 8, 2012 #1 Wadau naomba kujulishwa kama kunamtu majibu ya kazi kwa walio omba migration yametoka.
Perry JF-Expert Member Feb 24, 2011 10,043 2,000 Jun 8, 2012 #2 Tafuta cha kufanya tu,pale kama huna refa imekula kwako!
M Mkwanda Senior Member Apr 6, 2012 123 14 Jun 10, 2012 #3 Endelea kusubiri na jipe moyo ndugu yangu sababu yupo MUNGU na ni yeye tu ndio wakumtegemea na sio mtu.
Endelea kusubiri na jipe moyo ndugu yangu sababu yupo MUNGU na ni yeye tu ndio wakumtegemea na sio mtu.
King Innocent JF-Expert Member Dec 13, 2011 1,001 623 Jun 11, 2012 Thread starter #4 Mkwanda said: Endelea kusubiri na jipe moyo ndugu yangu sababu yupo MUNGU na ni yeye tu ndio wakumtegemea na sio mtu. Click to expand... nashukuru ndgu yang namini kilakitu kinawezekana 2kimshirikisha Mungu
Mkwanda said: Endelea kusubiri na jipe moyo ndugu yangu sababu yupo MUNGU na ni yeye tu ndio wakumtegemea na sio mtu. Click to expand... nashukuru ndgu yang namini kilakitu kinawezekana 2kimshirikisha Mungu
O Oshuma New Member Jun 1, 2012 2 0 Jun 13, 2012 #5 Senetor said: Tafuta cha kufanya tu,pale kama huna refa imekula kwako! Click to expand... Hakuna ukweli wa hiyo statement yako. kama una sifa na vigezo atapata. Serikalini kila jambo lina taratibu zake.Vuta subra wenye sifa wataitwa na kwenda mafunzoni then ajira.Wengi wameajiriwa bila kuwa na magodfather.
Senetor said: Tafuta cha kufanya tu,pale kama huna refa imekula kwako! Click to expand... Hakuna ukweli wa hiyo statement yako. kama una sifa na vigezo atapata. Serikalini kila jambo lina taratibu zake.Vuta subra wenye sifa wataitwa na kwenda mafunzoni then ajira.Wengi wameajiriwa bila kuwa na magodfather.
SIKAUKA MHAPA JF-Expert Member Jun 11, 2012 247 42 Jun 14, 2012 #6 Mkimi mwenyewe ni moja ya applicant,tusubili bajeti na tuombe mungu ndugu yangu