Mr Mayunga
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 313
- 40
Wanafunzi mkoa wa pwani,rufiji wanagomea menejimenti za shule zao wakizitaka ziachie madaraka.Migomo hyo inafanywa pamoja na wazazi wa watoto hao.Serikali,hebu komesheni tabia hii haraka.Waelimisheni hawa wanarufiji umuhimu waelimu,sababu pindi sisi wageni tukiondoka alafu tukawaacha wenyewe hali itakuaje.BADILIKENI.