maliki marupu
Member
- Nov 5, 2011
- 8
- 0
Migomo ya vyuo vikuu ktk mwaka wa masomo wa 2011-2012 umepungua kwa kiasi kikubwa sana.serikali inapaswa kupongezwa kwa hilo.lkn hoja yangu ya msingi ipo palepale kuwa kunauwezekano mkubwa serikali kutambua kwa kina vyanzo vya migomo vyuoni.matatizo hayo ni lazima yazingatiwe ili kuepusha athari ktk nchi.ni jambo la ajabu kumuona mwanafunzi wa shule ya msingi kugoma akidai haki zake za kitaaluma.utamaduni huu ni mbaya sana ktk nchi yetu.haki za msingi kitaaluma zitekelezwe kwa taratibu za kikanuni na sheria sio kusubiri migomo ndo haki itendeke huu ni ukale wa kikoroni na si usasa wa uhuru wa kifikra kaa tafakari alafu zingatia by o712099058