KiuyaJibu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2007
- 852
- 204
- Thread starter
- #21
Huenda majadiliano yalikwisha anza siku nyingi tu; ila kukubali kulipa hiyo 0.3% rasmi ndiyo mwaka huu wa fedha 2014/2015; japo inasekana majadiliano yalianza tangu 2013.hivi huwa mnasomaga habari kweli kabla ya kuchangia? au huwa mnakurupukaga tu?
Kufanyika majadiliano ni suala jingine, kukubaliana mlichojadili ni hatua moja mbele, na kukubali kutekeleza ni hatua ya pili. Nini ambacho hakieleweki?!