Mifumo ya Serikali vipi jamani?

Mifumo ya Serikali vipi jamani?

Joined
Oct 1, 2013
Posts
30
Reaction score
10
Nimeomba bar code ya isbn kwa ajili ya kitabu lakini wiki mbili sasa wanasema system inasumbua.

Imagine kamfumo hako kadogo tu kanasumbua. Kitu ambacho wenzetu wanafanya online dk mbili?

Tutoke huko kwenye mambo ya kizamani dunia inakwenda kasi sana tukimbie nayo plz
 
Back
Top Bottom