Morgan Fisherman
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 1,894
- 2,228
"Kabla Mungu hajatawala uumbaji kwa Mfumo wa Nuru(Haki/Mema), alinza kutawala Dunia kwa mfumo wa Giza (Maovu ruksa)"Giza inamaana kuishi na kifanya mambo bila uongozi wa Mungu mkuu.
Nuru ni kufanya na kutembea kama Mfuasi wa Mungu mkuu.
Kwahiyo kabla ya Adamu kuhasi amri ya Mungu na kujikuta kwenye giza, tayari Kuna viumbe wengine wengi walikua gizani.
mbona unajichanganya mwenyewe mkuuGiza inamaana kuishi na kufanya mambo bila uongozi wa Mungu mkuu.
Nuru ni kufanya na kutembea kama Mfuasi wa Mungu mkuu.
Kwahiyo kabla ya Adamu kuhasi amri ya Mungu na kujikuta kwenye giza, tayari Kuna viumbe wengine wengi walikua gizani.