Surya
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 9,751
- 15,545
Kila unachokifahamu kuhusu wewe na kuhusu dunia ni taarifa kutoka kwa Wazazi, Ndugu, Pastor au Shehe, Mwalimu.
Binadamu anapozaliwa huja duniani na kuwekwa kwenye Mwanga, Mwanga ni kitu muhimu sana kwa binadamu,
Hakuna mmea wa ardhini ambao unaweza kukuwa vizuri bila mwanga (Light).
Huwezi kutembea na kuona bila Mwanga hapa duniani. Kukiwa na giza hakuna Jua wala Mwezi, tunawasha taa zetu za kisasa kupata Mwanga au Moto.
Huo ni Mwanga ambao ni Muhimu sana kwa Mwili wa binadamu kwa ukuaji na chakula.
Mtu ni Mwili + Nafsi + Roho
Twende kwenye chakula cha Ulimwengu usio onekana (Nafsi na Roho)
Biblia.
Mwanzo 1:1-3
1 Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi.
2 Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.
3 Mungu akasema, Iwe nuru; ikawa nuru.
Soma vizuri hiyo mistari mitatu ya Mwanzo
Utagundua kuna gepu kubwa la miaka kati ya Mstari wa kwanza nawa pili.
Mstari wa kwanza Mungu aliumba mbingu na nchi. na lazima nchi iwe na viumbe,
Kisha msatari wa pili tunaona Utupu, Na Giza. vimetoka wapi ???
Kisha mstari wa tatu, Akaanza kuumba Nuru.
Kwahiyo siku ya kwanza Kazi pekee ambayo Mungu alifanya ni kuumba Nuru.
Kwahiyo Nuru kamkuta Giza akiwa mjengoni.
Tunapata kujua kwamba.
Viumbe kama Alien ambao walikuwepo kabla ya uwepo wa Adamu.
Malaika walio zini na binadamu walikuwepo duniani kabla ya Adamu,
Na waliishi hapa Duniani kwa Mfumo wa Giza.
Giza. wa kwanza
Nuru, wa pili
Kabla Mungu hajatawala uumbaji kwa Mfumo wa Nuru(Haki/Mema), alinza kutawala Dunia kwa mfumo wa Giza (Maovu ruksa)
Hapa hatuzungumzii kuwepo au kukosekana kwa Mwanga.
Mwanga wa Jua na Mwezi viliumbwa siku ya Nne katika mstari wa Mwanzo 1:14.
Giza- Ulimwengu wa giza (Ufalme wa giza)
Nuru - Ulimwengu wa Nuru (Ufalme wa Nuru)
Tunda La Ujuzi wa Mema na Mabaya.
Nuru - Mema
Giza - Mabaya.
Kujua, kutambua na kutawaliwa na mifumo yote miwili.
Kwahiyo lilikuwa ni tunda la kupewa kibali cha kutawala au kutawaliwa kwa ulimwengu wa giza au ulimwengu wa Nuru.
Sasa Shetani na Jeshi lake wamepewa kibali cha kupambana na binadamu kwa kutumia Ulimwengu wa giza.
Kuweza kuona mambo ya gizani, na kujua siri au mbinu za shetani, lazima uwe na Maarifa na Hekima za Ulimwengu wa roho.
Hekima hiyo Tunaita ni hekima iletayo Nuru.
Nuru au Maarifa na Uelewa ndio yatakusaidia kupambana na Ulimwengu wa giza.
1. Nafsi za watu zinafungwa.
2. Hatima na vibali vya watu vinachukuliwa.
Yote sababu ni kupungukiwa Nuru(Hekima) ya kuona na kupambana na Uovu wa ulimwengu wa giza.
MIFUMO MIWILI INAYOTAWALA DUNIA NA VILIVYOMO
Binadamu anapozaliwa huja duniani na kuwekwa kwenye Mwanga, Mwanga ni kitu muhimu sana kwa binadamu,
Hakuna mmea wa ardhini ambao unaweza kukuwa vizuri bila mwanga (Light).
Huwezi kutembea na kuona bila Mwanga hapa duniani. Kukiwa na giza hakuna Jua wala Mwezi, tunawasha taa zetu za kisasa kupata Mwanga au Moto.
Huo ni Mwanga ambao ni Muhimu sana kwa Mwili wa binadamu kwa ukuaji na chakula.
Mtu ni Mwili + Nafsi + Roho
Twende kwenye chakula cha Ulimwengu usio onekana (Nafsi na Roho)
Biblia.
Mwanzo 1:1-3
1 Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi.
2 Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.
3 Mungu akasema, Iwe nuru; ikawa nuru.
Soma vizuri hiyo mistari mitatu ya Mwanzo
Utagundua kuna gepu kubwa la miaka kati ya Mstari wa kwanza nawa pili.
Mstari wa kwanza Mungu aliumba mbingu na nchi. na lazima nchi iwe na viumbe,
Kisha msatari wa pili tunaona Utupu, Na Giza. vimetoka wapi ???
Kisha mstari wa tatu, Akaanza kuumba Nuru.
Kwahiyo siku ya kwanza Kazi pekee ambayo Mungu alifanya ni kuumba Nuru.
Kwahiyo Nuru kamkuta Giza akiwa mjengoni.
Tunapata kujua kwamba.
Viumbe kama Alien ambao walikuwepo kabla ya uwepo wa Adamu.
Malaika walio zini na binadamu walikuwepo duniani kabla ya Adamu,
Na waliishi hapa Duniani kwa Mfumo wa Giza.
Giza. wa kwanza
Nuru, wa pili
Kabla Mungu hajatawala uumbaji kwa Mfumo wa Nuru(Haki/Mema), alinza kutawala Dunia kwa mfumo wa Giza (Maovu ruksa)
Hapa hatuzungumzii kuwepo au kukosekana kwa Mwanga.
Mwanga wa Jua na Mwezi viliumbwa siku ya Nne katika mstari wa Mwanzo 1:14.
Giza- Ulimwengu wa giza (Ufalme wa giza)
Nuru - Ulimwengu wa Nuru (Ufalme wa Nuru)
Tunda La Ujuzi wa Mema na Mabaya.
Nuru - Mema
Giza - Mabaya.
Kujua, kutambua na kutawaliwa na mifumo yote miwili.
Kwahiyo lilikuwa ni tunda la kupewa kibali cha kutawala au kutawaliwa kwa ulimwengu wa giza au ulimwengu wa Nuru.
Sasa Shetani na Jeshi lake wamepewa kibali cha kupambana na binadamu kwa kutumia Ulimwengu wa giza.
Kuweza kuona mambo ya gizani, na kujua siri au mbinu za shetani, lazima uwe na Maarifa na Hekima za Ulimwengu wa roho.
Hekima hiyo Tunaita ni hekima iletayo Nuru.
Nuru au Maarifa na Uelewa ndio yatakusaidia kupambana na Ulimwengu wa giza.
1. Nafsi za watu zinafungwa.
2. Hatima na vibali vya watu vinachukuliwa.
Yote sababu ni kupungukiwa Nuru(Hekima) ya kuona na kupambana na Uovu wa ulimwengu wa giza.
MIFUMO MIWILI INAYOTAWALA DUNIA NA VILIVYOMO