Mifuko ya Hifadhi ya Jamii inawadhulumu Wafanyakazi

RasJah

JF-Expert Member
Nov 5, 2009
703
64
MIFUKO ya Hifadhi ya Jamii nchini inaongoza kwa kudhulumu wafanyakazi kutokana na kutofanya mrejesho wa faida inayotokana na vitega uchumi vyao. Wafanyakazi wamekuwa wakichangia fedha nyingi kwenye mifuko hiyo na fedha hizo ndizo zinazotumika kuanzisha vitega uchumi kama vile majengo makubwa kauli hiyo ilitolewa na Katibu Mkuu wa Tucta N. Mgaya.

Alisema inasikitisha kuona wafanyakazi wanapostaafu umri wao wa kuishi unazidi kupungua kutokana na ukali wa maisha kutokana na pensheni kiduchu wanayoambulia mbali na mifuko hiyo kulimbikiza fedha nyingi zinatokana na vitega uchumi vyao.
 
Hawa jamaa wanaiba kuanzia hizo dividend/divident mpaka formula feki wanazotupigia siku ya mwisho baada ya kusumbukia sana. Halafu huyo Mgaya naye ni mchumia tumbo tu, asijifanye kuturubuni kwa kupigia kelele matatizo yetu.
 
Unajua mgaya uko sahihi kabisa tatizo lilopo hata SSRA imeundwa lakini haipo kulinda masilahi ya wafanyakazi serikali inatumia mtindo wa kunyonya watumishi wake kupitia PAYE na kukopa pesa kutoka kwenye hii mifuko kulatibu ulaji wa wakubwa kifupi talf civil servants always atakuwa mtu wa kunyoywa mpaka anakufa na wakurugenzi wa hii mifuko kula kuku na kuendesha mav8 pesa dividends inayotokana uwekezaji badala ya kupewa pension iliyonona kupitia formula kama pspf na lapf na siyo ya ppf na nssf ambazo ni kandamizi. Jk do something to save workers after retirement mgaya is right freeze social security institutions and come up with only two for betterment and healthy pay afer employment.
 
Tena Ssra thru Issa na World Bank wapate muongozo wa kuwa mfuko mmoja wa nssf kama vile Uganda, Kenya, Rwanda na kwingineko duniani na huu utitili wa mifuko usio na tija kwa Tanzania bali kuongezea ulaji wachache bila sababu!
 
Mkuu tunadai mwaka wa 10 huu tangu mzee afariki tunazungushwa tu LAPF na hatujui lini watakamilisha maana kila siku wanatoa sababu mpya
 
Back
Top Bottom