Hizi ni paper bags to use instead of plastic bags kwa wafanyabiashara wote katika utoaji huduma kwa wateja.mifuko hii ni imara kabsa kama inavoonekana kwnye picha.Tunafanya delivery popote ulipo ndani ya Dar es Salaam.
Namba yangu ya simu 0758299556 au aje pm
Mkuu.... kama umetangaza biashara hapa hadharani, kwanini kwenye bei ulazimishe PM...!!??
Je hauoni kama ukiweka bei hapa itakupunguzia usumbufu wewe binafsi, na pia itampa mteja option nzuri ya kujipima kwenye issue nzima ya bei...??
Mkuu.... kama umetangaza biashara hapa hadharani, kwanini kwenye bei ulazimishe PM...!!??
Je hauoni kama ukiweka bei hapa itakupunguzia usumbufu wewe binafsi, na pia itampa mteja option nzuri ya kujipima kwenye issue nzima ya bei...??
aluminium foil sio nzuri kwa afya (baadhi ya nchi wamezipiga stop) ukiwekakitucha moto hua inayeyuka unaweza usione kwa macho na unakula aluminium ambayo inaenda kusababisha vitu kama kansa, matatizo ya mifupa na kuondoa madini ya calcium mwilini
aluminium foil sio nzuri kwa afya ukiekakitucha moto hua inayeyuka unaweza usione kwa macho na unakula aluminium ambayo inaenda kusababisha vitu kama kansa, matatizo ya mifupa na kuondoa madini ya calcium mwilini
Sio kwa kiasi hicho, hizo paper bags zinafaa kabisa, na wengi wanatumiaga hizo siku zote nadhani hata KFC wanazo hata baadhi ya local chips friers wanazo hizo!
Tutapata tabu hapa mwanzoni ila tutazoea,shida ni pale unapokuwa na kitu kibichi kama Nyama au Samaki au Juice kama umepewa kutoka kwenye fridge sijui inakuwaje..!
Tutapata tabu hapa mwanzoni ila tutazoea,shida ni pale unapokuwa na kitu kibichi kama Nyama au Samaki au Juice kama umepewa kutoka kwenye fridge sijui inakuwaje..!
Miaka ya nyuma kabla ya mifuko ya plastiki, hii mifuko ya kaki pamoja na magazeti ndio tulitumia kufungia bidhaa kama nyama, samaki, nyanya, vitunguu na kadhalika. Na nakumbuka tulikua tunatumia vikapu kwaajili ya kwenda sokoni kununua bidhaa nyingi
Miaka ya nyuma kabla ya mifuko ya plastiki, hii mifuko ya kaki pamoja na magazeti ndio tulitumia kufungia bidhaa kama nyama, samaki, nyanya, vitunguu na kadhalika. Na nakumbuka tulikua tunatumia vikapu kwaajili ya kwenda sokoni kununua bidhaa nyingi
Hivi Ushimen kwa hilo unalosema tutakuwa tunaenda mbele au tunarudi nyuma?kilichotushinda hapo ni kipi,hivi ni kweli tumeshindwa kabisa kuwa na sheria kali ya ku control utupaji taka hovyo hususa ni hii mifuko ya plastiki mpaka turudie vikapu na mifuko ya makaratasi?hii ni sawa na ile ya kushindwa kutengeneza utaratibu au sheria kali kwa madereva wanao kiuka sheria za barabarani na badala yake tunaweka matuta ambayo yanaharibu magari...
Sio kwa kiasi hicho, hizo paper bags zinafaa kabisa, na wengi wanatumiaga hizo siku zote nadhani hata KFC wanazo hata baadhi ya local chips friers wanazo hizo!