Miezi 9 iliyopita tuliambiwa Dr Dau aliacha Mfupa NSSF, sasa hivi ina Trilioni 7!!

hv mleta mada una viroba kichwani? kanywe ama kaoge maji ya baridi ili vipungue.

hiyo tril 7 ni projection ya mapato kwa mifuko yote ya hifadhi ya jamii ifikapo 2085. sasa hadi kufikia 2085 ni miez 9 hiyo?

halafu acha kabisa ulevi wa kidini, ww ni mdini sana. dr dau ni fisadi, ova!
Fisadi kuliko babaako,mnamshambulia kisa dini yake
 
Huyu jamaa alisema kuwa Daraja la Kigamboni ni WHITE ELEPHANT na haina Tija yoyote ile ya maana

leo hii someni anachokisema:

ae677fe7-f716-4f86-9595-f6aa9e214853.jpg
 
Huyu jamaa alisema kuwa Daraja la Kigamboni ni WHITE ELEPHANT na haina Tija yoyote ile ya maana

leo hii someni anachokisema:

View attachment 465417
My friend hakuna waliposema daraja limezalisha faida ila ni makusanyo waliokusanya darajani,makadirio ya hela ya daraja kurudi ni 30+yrs kitu ambacho ni hasara kwa investment iliyofisadiwa kiasi cha bilioni 264,baada ya kugundua dau wizi wake aliingiza ktk miradi yenye 10% prof yeye anakisanya na kupelekwa BOT ambako kuna uhakika wa kupata faida kubwa sana,jizi dau alishauriwa na alokuwa Waziri wa fedha Mr mkulo kuwa wawekeze kwenye treasury bill na bonds akakataa kwa kuwa hauna faida kwake,hili daraja asingekuwa kahyarara hawa majambazi akiwepo bosi yao walishapanga ku outsource kampuni ikusanye ushuru darajani kitu ambacho kingeleta hasara ya mamilion,na kampuni yalishaanzisha mapanya wale,mungu alionyesha njia kumtumbua dau Nssf maana ilikuwa taabani ingawa Abbas mzamir haoni hilo
 
View attachment 449437 View attachment 449438

Magazeti haya haya yalisema NSSF imefilisika na kwamba Mkurugenzi Mkuu mpya kaachiwa fupa

Ina maana kuondoka kwa Dr Dau NSSF miezi 9 ndio mafanikio makubwa Kiasi hiki? Kutoka kuwa Fupa Hadi kuwa Imara kifedha na balance ya TRILLION 7 Kwa mpaka 2085?

Kwa miradi gani mpya iliyoanzishwa na yenye tija kiasi hicho?

Maana huyu Mkurugenzi mpya amesimamisha miradi yote na akalalamika miezi 3 iliyopita alisema hakuna mradi mbaya, wa hovyo na usio na manufaa kwa taifa na wenye kutia hasara kama Daraja la Kigamboni ambalo ni mmoja ya legacy kubwa ya Dr Dau

lakini wiki iliyopita kabadilika na kanukuliwa akisifia kuwa Daraja Kigamboni lina print pesa kuliko BOT na ni mradi bora zaidi kuliko miradi yote iliyofanywa na pension funds za nchi hii

Mwenyezi Mungu Ni Mjuzi

We Abbas unataka uanze kukera watu walio na maumivu juu ya mwivi hodari alowaponza wasaidizi wake hadi wakasimamishwa sababu ya ujinga wa Punguani mmoja fisadi,
 
My friend hakuna waliposema daraja limezalisha faida ila ni makusanyo waliokusanya darajani,makadirio ya hela ya daraja kurudi ni 30+yrs kitu ambacho ni hasara kwa investment iliyofisadiwa kiasi cha bilioni 264,baada ya kugundua dau wizi wake aliingiza ktk miradi yenye 10% prof yeye anakisanya na kupelekwa BOT ambako kuna uhakika wa kupata faida kubwa sana,jizi dau alishauriwa na alokuwa Waziri wa fedha Mr mkulo kuwa wawekeze kwenye treasury bill na bonds akakataa kwa kuwa hauna faida kwake,hili daraja asingekuwa kahyarara hawa majambazi akiwepo bosi yao walishapanga ku outsource kampuni ikusanye ushuru darajani kitu ambacho kingeleta hasara ya mamilion,na kampuni yalishaanzisha mapanya wale,mungu alionyesha njia kumtumbua dau Nssf maana ilikuwa taabani ingawa Abbas mzamir haoni hilo

There you are,big up
 
Wanakusanya sana na sasa hahzitumiki kwa miradi yeyote ile na pia fao la kujitoa hakuna lazima mfuko utakuwa na pes mingi sana!!! Walipe watu pesa zao!!!! Waache siasa na upuuzi wao
 
Hebu kajiulize wana cash kiasi gani!! sio wananchi walisema hivyo ni mkaguzi mkuu ndugu
 
:"its better dr. alivyoondoka naamin now ataishi kwa amani kbsa!"" uhai hautafutwi mengine tunatafuta!
 
Back
Top Bottom