Junius
JF-Expert Member
- Mar 11, 2009
- 3,181
- 139
Shirikisho la kabumbu la Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) limeifungia kwa miaka mitano timu ya Miembeni ya Zanzibar na kocha wake Ali Bushiri, kwa kitendo cha kugomea kuendelea na mchezo kati yake na timu ya Heg Al Arab.
Sambamaba na adhabu hiyo ya kifungo, klabu hiyo imekumbana na fani nzito ya dola 20,000.
Miembeni ni wawakilishi wa zanzibar katika michuano hiyo ya vilabu bingwa vya Afrika Mashariki na Kati inayoendelea nchini Sudan.
Sambamaba na adhabu hiyo ya kifungo, klabu hiyo imekumbana na fani nzito ya dola 20,000.
Miembeni ni wawakilishi wa zanzibar katika michuano hiyo ya vilabu bingwa vya Afrika Mashariki na Kati inayoendelea nchini Sudan.
Last edited: