Anne Maria
JF-Expert Member
- Mar 22, 2012
- 399
- 98
napenda funny comments zafanya siku yangu iwe njema,, sitafuti mchumba wala mume wala mpenzi,, ila napenda kupata rafiki wa kucheka nae tuuuu,,,, cheeers!!!
Love connect, halafu unatafuta rafiki wa kucheka nae tu!!........Aisee hapa sijakuelewa ngoja wenyewe wenyeji wa hapa waje.napenda funny comments zafanya siku yangu iwe njema,, sitafuti mchumba wala mume wala mpenzi,, ila napenda kupata rafiki wa kucheka nae tuuuu,,,, cheeers!!!
Wallahi hili ni jina la my wife wangu, could it be u ? madame
inamaana bado una muda wa kuchekacheka na mtu duuh! Ebu nichekeshe nione maana nchi hii inaniuma.
inamaana bado una muda wa kuchekacheka na mtu duuh! Ebu nichekeshe nione maana nchi hii inaniuma.
napenda funny comments zafanya siku yangu iwe njema,, sitafuti mchumba wala mume wala mpenzi,, ila napenda kupata rafiki wa kucheka nae tuuuu,,,, cheeers!!!
napenda funny comments zafanya siku yangu iwe njema,, sitafuti mchumba wala mume wala mpenzi,, ila napenda kupata rafiki wa kucheka nae tuuuu,,,, cheeers!!!
Karibu mgeni ila kuna jukwaa la jokes (lipo hapa JF) nadhani litakufaa zaidi, ila sio mbaya ukipata mtu mcheshi it can lead to something more (ila naogopa siku ukimpata ukishasikia jokes zake zote usije ukampiga chini)
Anyway hutafuti sababu umepata au bado hujaona wa kukufaa au unae tayari.., Samahani kwa maswali lakini ucheshi nao ni character ambayo inaweza ku-lead to love.., (usicheze na issue za moyo mara nyingi bila kujitambua hujikuta tumefall)
Coment yako imenifanya nimkumbuke yule mtoto ambaye aliigiza kwenye lile tangazo la haki elimu SIDANGANYIKI lakini cha kushangaza mwaka jana nilimuona na mimba na sidhani hata kama alifanikiwa kumaliza shule!!......I think you know what i mean.Sun wu!!! u a live in china ama wapenda tuu chinese stuff!!jokes!! ok thanks ntalicheki hilo jukwaa la jokes,,
sina kitu kinaitwa love life or stuff like that,, siamini hayo mambo watu wanayaita love kama yanaexist, dont ask me if i have ever been in love!!! bt i was passing hizi jukwaa to enjoy and laugh at really funny comments!!! cheers!!
Ha ha haa I don't like the person lakini I like some ideas behind the; Art of War "By Sun Tzu"..,Sun wu!!! u a live in china ama wapenda tuu chinese stuff!!jokes!! ok thanks ntalicheki hilo jukwaa la jokes,,
sina kitu kinaitwa love life or stuff like that,, siamini hayo mambo watu wanayaita love kama yanaexist, dont ask me if i have ever been in love!!! bt i was passing hizi jukwaa to enjoy and laugh at really funny comments!!! cheers!!
napenda funny comments zafanya siku yangu iwe njema,, sitafuti mchumba wala mume wala mpenzi,, ila napenda kupata rafiki wa kucheka nae tuuuu,,,, cheeers!!!
kwani love connect hairuhusiwi kuwa na mtu wa kucheka nae tuu,, teh teh teh teh,,, unanitisha unavyosema waje wenyeji wa hapa,, ni kamsuto nini??? mmmhh haya basi ngoja nisepe labda nilikosea eeehh???
[h=6]: Husband buys a dozen of same-colour pants for his wife. Wife,protesting ," Ah! Why buy the same colour? People will think I never change my panties"! Husband: "Which People?". Total Silence!! Pls help this woman to answer this all important question now. Which people?khaaa sasa wewe mie sio comedian jamani nimesema tuu am easy to laugh at good joke,,, kucheka ni lazima uchekeshwe na kuchekeshwa kwaja na topic jamanii,,, teh teh teh teh..... ila pole kwa kuumizwa na tanzagiza.... hamna nchi hapa!!!