donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,257
- 22,131
Hatari kitu cha malinyi ulangaDaa!! hako kamchele kanaonekana ni hataree
Karibu mkuuMmmh na pilipili hapo daa
Haina shida mkuuNamalizia kusikia hotuba ya Magu nakuja.
SwadaktaaaNaaaam sawiya
Pole mkuumkuu daah asubui sijapata kitu mtonyo akuna nkiona mambo ayo daaah cjui mchana patakuaje msaada