Microwave (Nikai Brand) inauzwa

Microwave (Nikai Brand) inauzwa

financial services

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2017
Posts
18,139
Reaction score
43,360
Habari ya weekend!

Nauza microwave ni kama mpya kabisa sababu haijatumika sana bei ni 120,000/= sababu ya kuiuza ni ninazo 2 so hii siitumii, pia ukilipia 140,000 nakupa na viti 2 vya kuzunguka(office chairs).

Karibu inbox kama hela iliyopo imepungua kidogo, naimani hatutashindwana.
Location: Dar es salaam
 

Attachments

  • 20231104_132126.jpg
    20231104_132126.jpg
    1.3 MB · Views: 44
  • 20231104_132126.jpg
    20231104_132126.jpg
    1.3 MB · Views: 41
  • 20231104_132014.jpg
    20231104_132014.jpg
    1.7 MB · Views: 44
  • 20231104_132211.jpg
    20231104_132211.jpg
    1.5 MB · Views: 38
Habari ya weekend!

Nauza microwave ni kama mpya kabisa sababu haijatumika sana bei ni 120,000/= sababu ya kuiuza ni ninazo 2 so hii siitumii, pia ukilipia 140,000 nakupa na viti 2 vya kuzunguka(office chairs).

Karibu inbox kama hela iliyopo imepungua kidogo, naimani hatutashindwana.
uko wapi kwanza
 
Habari ya weekend!

Nauza microwave ni kama mpya kabisa sababu haijatumika sana bei ni 120,000/= sababu ya kuiuza ni ninazo 2 so hii siitumii, pia ukilipia 140,000 nakupa na viti 2 vya kuzunguka(office chairs).

Karibu inbox kama hela iliyopo imepungua kidogo, naimani hatutashindwana.
Location: Dar es salaam
Muuzie rara raree
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom