Microsoft Lumia 535

RingaRinga

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2015
Posts
1,052
Reaction score
529
Unamiliki simu aina hii? Au uliwahi kuimiliki au mtu unayemfahamu anaimiliki?
Katika kuivinjari maeneo mbalimbali ulishawahi pita setting category ya easy of access, ukaturn on narrator? Nini kilifuata? Unaswali? ULIZA NIKUSAIDIE;
 
Usiguse hapo utajamba!

I mean ushuzi utakutoka mfululizo
 
Unamiliki simu aina hii? Au uliwahi kuimiliki au mtu unayemfahamu anaimiliki?
Katika kuivinjari maeneo mbalimbali ulishawahi pita setting category ya easy of access, ukaturn on narrator? Nini kilifuata? Unaswali? ULIZA NIKUSAIDIE;
Nilishawahi kupita huko. Shughuli nliiona mbona. Japo nilichomoka ila hadi leo sijui nilichomokaje
 
hahah nmewahi sitasahau ila nilitoka japo siku nxima nilikuwa sipo net na niliboreka saaana
 
Ha haaaaa.... ni juzi tu apo siku ya jumapili nikiwa naibonya bonya nikaangukia kwenye hiyo narrator though ilinichukua kama masaa mawili kuchomoka but usumbufu nilioupata ingekuwa ni program ya kudownload ningeichomoa chap
 
.....halafu wakuu msaada tutani, hivi mbona app ya jamii forums siioni kwenye Store
 
Unamiliki simu aina hii? Au uliwahi kuimiliki au mtu unayemfahamu anaimiliki?

Katika kuivinjari maeneo mbalimbali ulishawahi pita setting category ya easy of access, ukaturn on narrator? Nini kilifuata? Unaswali? ULIZA NIKUSAIDIE;
Aha ha haaa! Mi niliingia maeneo hayo kupitia Lumia 620 lakini haikunizingua sana maana nilishaanza kuizoea kwenye Desktop yangu ya windows 8. Ila usipotuliza kichwa utaipata fresh
 
Window hawana hiyo, watumiaji wa android na iphone wanaweza pata jf lkn si window phone
naonaga chief mkwawa akuwaelekeza watu kuwa wadownload kitu kinaitwa tapatalk halafu humo ndani utaikuta jf
 
Ukifanya kitu kwa kukurupuka ama kuchezea settings za simu alaf unachochezea huna ufaham nacho na ata maelekezo unayopewa hujui kuyatafsiri kwa Os yenye Akili kama window utaweza kujikuta unalia. Cha msingi fuata maelekezo kama unaona yanakupiga chenga achana na hyo kitu kabsa, lets say hiyo narrator kuna maelezo unapewa kabla hujaifungua... Sasa ukiingia kichwa kichwa utasaga meno, mana maelezo yke yanakuelekeza jinsi ya kuitoa pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…