Ukifanya kitu kwa kukurupuka ama kuchezea settings za simu alaf unachochezea huna ufaham nacho na ata maelekezo unayopewa hujui kuyatafsiri kwa Os yenye Akili kama window utaweza kujikuta unalia. Cha msingi fuata maelekezo kama unaona yanakupiga chenga achana na hyo kitu kabsa, lets say hiyo narrator kuna maelezo unapewa kabla hujaifungua... Sasa ukiingia kichwa kichwa utasaga meno, mana maelezo yke yanakuelekeza jinsi ya kuitoa pia