Mbona youtube ni chuo tosha,labda uwe mvivu.
Kuna watu wanadhani excel unaweza tu kupewa formula za kila kitu alafu ukawa umemaster.Kumbe wangejua,excel ni msitu mzito.Utaelewa upande wa mahitaji yako ya kila siku tu.Mengine hautakuja kuyajua.
Hatabwaliotengeneza wenyewe hawaijui excel yote.Kila mtu anajua kaeneo kake tu