Watu wakae wadraft watengeneze na wawe wanazifanyia updates, we upewe Bure!!!! Ndio maana microfinance watu wanachemka wanashindwa. Biashara ya kukopesha si kutoa tu pesa hata kama unazo, unatakiwa upate consultant akupe ushauri general, akutayarishie policy na miongozo utakayoisimamia, akudraftie forms zote, mikataba etc.. We unataka upewe Bure duuh.. Wabongo msirahisishe mambo kila jambo Lina utaalamu wake.