Nadhani kwa jinsi Tanzania tulivyohalalisha ubangaizaji (Rais anapenda kuuita UKANJANJA) suala la Mpiga Picha kuwa Mwandishi wa Habari Msaidizi wa Ikulu halitakiwi kushangaza. Inaonesha kuwa hadi ofisi kubwa kuliko zote nchini imeingia katika zoezi la UKANJANJA!
Mimi siku zote (samahani kwa uelewa wangu finyu) nilikuwa naamini Michuzi ni mpiga picha!
Never,never mkuu! 2858 ikiwa mwisho basi itaanzishwa 50 tu na itakuwa efficient mpaka basi! itakuwa inaongezeka mdogo mdogo!!!Hahahaha! 28-58 Over
hii habari ni ngumu kuiamini,sidhani kama ni za ukweli.
Ile kazi iliyowahi kuripotiwa kuwa ameipata huko marekani iliishia wapi??????safi sana kimepanda,hayo ni malipo ya uadilifu na uaminifu,piga kazi mkuu na itumie nafasi ipasavyo
misupu pia huwa anamuunganishia mkulu mademu hasa ughaibuni
Kibonde anakauka koo tu kwa kubwabwaja tu kwenye Radio ya wafu wakati wenzake wanakula mashavu kudadadeki.
siku nikimsikia rais anasoma hotuba ikianza na maneno haya nitajua basi kweli imeandikwa na Michuzi:
nawashukuru sana wadau wa libeneke la mandeleo ya nchi yetu kutoka ukerewe na ufini..... bila kuwasahau mashabiki wa bwawa la maini....
ni mfano tu
zile picha za mkulu za kubembea hazikutokea vizuri...............sasa amechukua mtaalamu..........tegemeeni mambo mazuri kule kwenye facebook.Michuzi ni photo-journalist.